GLOBAL TV imefunga safari mpaka katika Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani kwa ajili ya kumtembelea na kuzungumza na Katibu Tawala Mpya wa wilaya hiyo, Hamza Amri Atumani, ambaye ni mtoto wa aliyekuwa msanii Mkongwe wa Filamu nchini Marehemu Amri Athumani ‘King Majuto’.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni Mstaafu, George Mkuchika Alimtangaza Hamza Majuto, kuwa Katibu Tawala wa Bagamoyo Mnamo Agosti 5 mwaka huu.
Comments are closed.