Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Vwawa Mkoani Songwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2020-2025.
Waziri Hasunga amekabidhiwa fomu hiyo leo Tarehe 21 Agosti 2020 na Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Mbozi Bi Hanji Godigodi ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi.