The House of Favourite Newspapers

Hasunga Achukua Fomu ya Ubunge

0

Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Vwawa Mkoani Songwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2020-2025.

Waziri Hasunga amekabidhiwa fomu hiyo leo Tarehe 21 Agosti 2020 na Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Mbozi Bi Hanji Godigodi ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi.

Leave A Reply