Hayati Magufuli Azikwa Chato, Vilio Vyatawala – Video
BURIANI MAGUFULI: Hapa ndipo itakapofanyika ibada ya mwisho ya kuaga mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli. Ni Kanisa la muda lililoandaliwa hapa kwenye Uwanja wa Magufuli, Chato.
Tayari wageni mbalimbali, viongozi na baadhi ya wananchi wameshajumuika.
#BurianiMagufuli #RIPMagufuli #BurianiJPM