The House of Favourite Newspapers

Hiki Hapa Kikosi cha Wananchi Kinachokwea Pipa Kuelekea Algeria

0

KIKOSI cha Wananchi, Young Africans SC kinachokwea pipa kuelekea Algeria kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa fainali ya kombe la shirikisho Afrika dhidi ya USM Alger utakaopigwa Juni 3, 2023.

ALI KAMWE ANAFUNGUKA MUDA HUU – “SIJAONA WACHAMBUZI, TUNAKWENDA KUPINDUA MEZA”…

Leave A Reply