The House of Favourite Newspapers

Huyu Hapa Mwanamke Dereva Wa Gari La Wagonjwa Aliyekaidi Kanuni Za Kijinsia Akaachika Kwa Mumewe – Video

0
Mwanamke dereva wa gari la wagonjwa, Batula Ali aliyekaidi kanuni za kijinsia.

Batula Ali amekaidi kanuni za kijinsia na matarajio ya jamii na kuwa mwanamke wakipekee dereva wa gari la wagonjwa yaani ambulensi katika kambi kubwa ya wakimbizi Garissa nchini Kenya, Dadaab.

Leave A Reply