IGP SIRO AFIKA NYUMBANI KWA MAREHEMU AKWILINA KUTOA POLE KWA FAMILIA
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Nyakoro Sirro, leo amefika kwenye msiba wa aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwilini ambaye aliuawa kwa kupigwa risasi juzi Ijumaa eneo la Mkwajuni, Kinondoni, Dar. Msiba huo upo nyumbani kwao Akwilina maneo ya Mbezi jijini Dar.
(PICHA: RICHARD BUKOS | GLOBAL PUBLISHERS)
Comments are closed.