IGP SIRRO AKUTANA NA IGP WA SUDAN
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro, leo Agosti 30, 2019, amekutana na Mkuu wa Jeshi la Polisi la Sudan, IGP Adil Mohamed Ahmed jijini Dar es Salaam.
IGP Ahmed yuko nchini hapa kwa ziara ya kikazi ya siku mbili ya kuimarisha ushirikiano uliopo kati ya majeshi ya polisi ya Tanzania na Sudan.
(Picha: Na Jeshi la Polisi Nchini)
Comments are closed.