Polisi Mkoani Iringa imezuia mkutano wa Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) uliokuwa ufanyike leo mkoani humo- Katibu Chadema Iringa, Jackson Mnyawami amethibitisha
Polisi wamesema wamepata taarifa za kiintelejensia kwamba kuna watu wamepanga kufanya fujo kwenye mkutano huo. Vilevile hawana askari wa kutosha wa kulinda mkutano.
Comments are closed.