The House of Favourite Newspapers

IRINGA: POLISI WAZUIA MKUTANO WA MCH. MSIGWA

Polisi Mkoani Iringa imezuia mkutano wa Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) uliokuwa ufanyike leo mkoani humo- Katibu Chadema Iringa, Jackson Mnyawami amethibitisha

Polisi wamesema wamepata taarifa za kiintelejensia kwamba kuna watu wamepanga kufanya fujo kwenye mkutano huo. Vilevile hawana askari wa kutosha wa kulinda mkutano.

MTOLEA Alivyopokelewa CCM/Ahaidiwa Ubunge Tena

Comments are closed.