Steji ya Wasafi Festival Mtwara Usipime!
Tamasha la Wasafi Festival linafanyika leo katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona kwa wakazi wote wa Mtwara na mikoa ya Kusini.
Baadhi ya wasanii watakaotumbuiza katika tamasha hilo ni Diamond, Harmonize, Rayvanny, Dudu Baya, Country Boy, Lava Lava, Young Killer, Navy Kenzo, Chin Bees, Mbosso, Queen Darling, mchekeshaji Dulvan na wengine kibao.
PICHA NA MUSA MATEJA | MTWARA -GPL
Comments are closed.