Jeshi la Polisi Latoa Tamko Ramsi Baada ya Oparesheni Kali na Kukamata Panya Road 167 Dar
JESHI la Polisi nchini limetoa taarifa rasmi kwa Umma baada ya kufanikiwa kufanya Oparesheni kali a kufanikiwa kuwatia nguvuni Panya Road 167 katika Jiji la Dar es Salaam.