The House of Favourite Newspapers

JK, Samia, Nape Washiriki Mazishi ya Bi. Shakila

0

 

7

Mwili wa Bi. Shakila ukihifadhiwa kaburini.

1

Rais mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Kikwete akiweka udongo kwenye kaburi la Bi. Shakila Said, wakati wa maziko yake huko nyumbani kwake Mbagala Charambe, jijini Dar .

2

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye akiweka udongo kwenye kaburi la Bi. Shakila Said.

3

Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo cha Bi. Shakila Said, huko nyumbani kwake Mbagala Charambe, jijini Dar, wa pili kushoto akishuhudia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye.

4

Makamu wa Rais, Samia Suluhu akijadiliana jambo na mmoja wa waombolezaji nyumbani kwa marehemu, kabla ya maziko kufanyika.

5 6

Baadhi ya waombolezaji wakiwa nyumbani kwenye mazishi ya Bi. Shakila, aliyefariki ghafla nyumbani kwake, huko Mbagala Charambe.

8

Waombelezaji wakiwa wamebeba jeneza lililobeba mwili wa marehemu Bi. Shakila wakielekea makaburini jana nyumbani kwake Mbagala Charambe jijini Dar.

Leave A Reply