The House of Favourite Newspapers

JPM Aenda Ziarani Uganda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ameondoka nchini leo kuelekea Uganda kushiriki Mkutano wa siku mbili wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki unaofanyika jijini Kampala.

Rais Magufuli ameagana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF ), Jenerali Venance Mabeyo.

Comments are closed.