JPM Afanya Uteuzi wa Mwenyeki wa Bodi ya Wakurugenzi TRA
Share
Rais Magufuli amemteua Dkt. Suleiman Magesa Missango kuwa M/Kiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TRA. Dkt. Missango ni Mkurugenzi wa Utafiti wa Sera za Uchumi wa Benki Kuu ya Tanzania
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.