The House of Favourite Newspapers

JPM Amchagua Samia Mgombea Mwenza Urais -Video

0

MGOMBEA wa urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) John  Magufuli amemchagua Mama Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM.

Magufuli amesema katika kipindi cha miaka mitano alichofanya kazi na Samia kama Makamu wa Rais amejifunza mengi na ameamua kuendelea naye katika awamu ya pili.

”Katika kipindi nilichofanya kazi na Mama Samia nimejifunza mambo mengi sana na kupitia yeye nawahikikishia nitakuwa mtetezi mzuri wa wanawake. Nimekuwa nikimtuma popote hakatai sawa  na nyie kina mama mkitumwa hamkatai,” amesema.

Leave A Reply