The House of Favourite Newspapers

JPM, LEMA WAKUTANA USO KWA USO MSIBANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA), Godbless Lema wakati akitoka kutoa heshma za mwisho kwenye msiba wa marehemu Tryphosa Simon Sanga ambaye ni Dada wa Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa aliyefariki juzi jijini Dar es Salaam.

PICHA NA IKULU

Comments are closed.