Juma Nature Afanya Balaa Dar Live – Video
MKONGWE wa Muziki wa Bongo Fleva, Juma Nature amefanya maajabu katika Jukwaa la Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar baada ya kuingia jukwaani na kuwakubusha mashabiki wake kwa kupiga nyimbo zake zote kali kuanzia Sonia, Kighetogheto na nyingine kibao.