UPANDE wa utetezi kupitia Mshtakiwa aliyekuwa Mwanasheria wa kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Joseph Makandege, ameondoa rasmi maombi yake ya kufanya majadiliano ya kuimaliza kesi baina yake na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP.