The House of Favourite Newspapers

Lailat Shomari Akabidhiwa Laki Tano Baada Ya Kibuka Mshindi Wa Maokoto Ndani Ya Kizibo Droo Ya Saba

0
Lailat Shomari (Kulia) Mshindi wa Maokoto Ndani ya Kizibo Droo Ya Saba akipokea mfano wa hundi ya Tsh 500,000/= kutoka kwa Meneja Mauzo wa Kampuni ya SBL, Hoza Rajabu (kushoto). Hafla hiyo imefanyika Kwenye Bar ya Google Search iliyopo Mbagala jijini Dar Desemba 8 mwaka huu.
Lailat akiwa katika pozi la furaha na mfano wa hundi ya pesa alizokabidhiwa.

 

Lailat akiwa katikati akiwa na wafanyakazi wa SBL wakati kaikabidhiwa hundi hiyo.
Leave A Reply