Katibu Mkuu Wa CCM Anazungumza Muda Huu, Mwaka 1 Wa Rais Samia-Video
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo Leo Ijumaa Machi 18, 2022, amezungumza na Waandishi wa Habari kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx