FT: KUTOKA KAMBARAGE SHINYANGA, MWADUI FC 2-2 SIMBA
KADI Dk 84: Juuko analambwa kadi ya pili ya njano na kuwa NYEKUDNU
KADI Dk 75, Awesu analambwa kadi ya njano kwa kujiangusha
GOOOOOOOOOOOO Dk 71, kwa mkwaju wa penalti Okwi anaandika bao la pili la Simba, bao la kwaza kwake la mkoani
Dk 65, piganikupige kwenye lango la Mwadui lakini Mobi anaondosha
Dk 43, mwamuzi amesimamisha mpira ili wapate mapumziko mafupi ya maji
Dk 32 Zimbwe anatoa boko, Miraji yeye na kipa Manula, anaokoa
KADI Dk 27, Zimbwe analambwa kadi ya njano kwa kupoteza muda.
Dk 21, mpira safi wa kona wa Ndemla, Kotei anauwahi lakini Mobi anaondosha vizuri kabisa.
Comments are closed.