RAIS MAGUFULI AKIZINDUA MAONYESHO HAYO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amezindua rasmi Maonyesho ya 41 ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama Maonyesho ya Sabasaba, hafla ambayo imefanyika katika jijini Dar.
Katika uzinduzi huo, haya ndiyo yaliyojili;
#Sabasaba2017: Maonyesho ya biashara yamekuwa yakitangaza bidhaa za Tanzania Kimataifa. Tunajivunia kukuza uwekezaji – #WaziriMwijage
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 1, 2017
#Sabasaba2017: Nashukuru mwaka huu ndio nimekuwa mgeni rasmi kwa mara ya kwanza kwenye maonyesho haya ya 41. –@MagufuliJP pic.twitter.com/rxBesUlDKH
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 1, 2017
#Sabasaba2017: Nawashukuru waandaaji, mmejitahidi makampuni yameongezeka zaidi kwenye maonyesho haya kutangaza bidhaa zao mpya –@MagufuliJP
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 1, 2017
#Sabasaba2017:itasaidia makampuni kukutana na wateja wao kutambulisha bidhaa kupata mrejesho kuhusu bidhaa zao kama zinakubalika-@MagufuliJP
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 1, 2017
#Sabasaba2017: Pia maonyesho haya yatasaidia makampuni kukutana na kubadilisha uzoefu –@MagufuliJP
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 1, 2017
#Sabasaba2017: Nchi zaidi ya 30 zimefika kufanya maonyesho haya, hii itasaidia kuendelea mpango wetu wa kuongeza viwanda –@MagufuliJP pic.twitter.com/EJx5VIR1cK
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 1, 2017
#Sabasaba2017: Nchi ya viwanda lazima iwe na umeme wa uhakika lazima tuijenge Stiegler’s Gorge hatutojali vizuizi vya mazingira –@MagufuliJP pic.twitter.com/eduuFULiEG
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 1, 2017
#Sabasaba2017: Maonyesho haya yawe chachu ya kuibadilisha Tanzania, tumechezewa sana kwa kuwa tuliamua kuchezewa, tuamke sasa –@MagufuliJP pic.twitter.com/KQAroRLQEA
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 1, 2017
#Sabasaba2017: #TanTrade badala ya kujenga mahoteli, ningependa muwe mfano, mjenge viwanda ambavyo vitawasaidia Watanzania wote-@MagufuliJP
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 1, 2017
SABASABA 2017: Rais Magufuli ametoa tuzo kwa makampuni washindi wa Tuzo za Maonyesho ya 41 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) jijini Dar. http://bit.ly/2sbXBFc
#SABASABA2017 Mama Anna Mkapa anapewa tuzo maalum na mheshimiwa rais ya kutambua mchango wake wa kuwainua wanawake kiuchumi.
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 1, 2017
#SABASABA2017 Mama Anna Mkapa anapewa tuzo maalum na mheshimiwa rais ya kutambua mchango wake wa kuwainua wanawake kiuchumi.
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 1, 2017
#SABASABA2017 Mkurugenzi wa Tantrade, amesema maonesho ya Sabasaba yataongezwa kwa siku tano zaidi, kama mheshimiwa Rais alivyoshauri
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 1, 2017
SABASABA 2017: Ulinzi wa Rais Magufuli umeimarishwa sana ambapo askari wenye silaha nzito za kisasa, wakiwa wamevaa kijeshi wanamlinda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 1, 2017
#SABASABA2017: Rais @MagufuliJP ameonyeshwa gari linalotumia gesi badala ya mafuta, gari limetengenezwa na #DIT =>https://t.co/aTNZDwVXhc pic.twitter.com/7jJc4ZQfue
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 1, 2017