TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza kupokea na kutangaza matokeo ya kura za urais zilizopigwa jana Oktoba 28, 2020.
Mkoa wa Njombe
Jimbo la Njombe Mjini
Walioandikishwa kupiga kura – 96,686
Waliopiga kura – 36,343 (37.47% ya walioandikishwa kupiga kura)
Kura halali – 35,674 (98.16% ya kura zilizopigwa)
Kura zilizokataliwa – 669 (1.84% ya kura zilizopigwa)
Matokeo
Dkt. John Magufuli (CCM) – 30,134 (84.47%)
Leopold Mahona (NRA) – 138 (0.39%)
John Shibuda (ADA Tadea) – 62 (0.17%)
Mutamwega Mgaywa (SAU) – 10 (0.03%)
Cecilia Mwanga (Demokrasia Makini) – 39 (0.11%)
Yeremia Maganja (NCCR) – 38 (0.11%)
Prof. Ibrahim Lipumba (CUF) – 06 (0.02%)
Philip Fumbo (DP) – 19 (0.05%)
Bernard Membe (ACT) – 13 (0.04%)
Queen Sendiga (ADC) – 14 (0.04%)
Twalib Kadege (UPDP) – 9 (0.03%)
Hashim Rungwe (Chauma) – 45 (0.13%)
Mohammed Mazrui (UMD) – 3 (0.01%)
Seif Maalim Seif (AFP) – 6 (0.02%)
Tundu Lissu (Chadema) – 5,138 (14.40%)
Mkoa wa Katavi
Jimbo la Nsimbo
Walioandikishwa kupiga kura – 80,474
Waliopiga kura 53,352 (66.31% ya walioandikishwa kupiga kura)
Kura halali – 52,881 (96.10% ya walioandikishwa kupiga kura)
Kura zilizokataliwa – 480 (0.90% ya kura zilizopigwa)
Matokeo
Dkt. John Magufuli (CCM) – 50,327 (95.17%)
Leopold Mahona (NRA) – 143 (0.27%)
John Shibuda (ADA Tadea) – 57 (0.11%)
Mutamwega Mgaywa (SAU) – 13 (0.02%)
Cecilia Mwanga (Demokrasia Makini) – 27 (0.05%)
Yeremia Kulwa Maganja (NCCR) – 16 (0.03%)
Prof. Ibrahim Lipumba (CUF) – 25 (0.05%)
Philip John Fumbo (DP) – 11 (0.02%)
Bernard Membe (ACT) – 36 (0.07%)
Queen Sendiga (ADC) – 08 (0.02%)
Twalib Kadege (UPDP) – 06 (0.01%)
Hashim Rungwe (Chauma) – 60 (0.11%)
Mohammed Mazrui (UMD) – 06 (0.01%)
Seif Maalim Seif (AFP) – 02 (0.00%)
Tundu Antipas Lissu (Chadema) – 2,141 (4.05%)
Mkoa wa Katavi
Jimbo la Nsimbo
Walioandikishwa kupiga kura – 80,474
Waliopiga kura 53,352 (66.31% ya walioandikishwa kupiga kura)
Kura halali – 52,881 (96.10% ya walioandikishwa kupiga kura)
Kura zilizokataliwa – 480 (0.90% ya kura zilizopigwa)
Matokeo
Dkt. John Magufuli (CCM) – 50,327 (95.17%)
Leopold Mahona (NRA) – 143 (0.27%)
John Shibuda (ADA Tadea) – 57 (0.11%)
Mutamwega Mgaywa (SAU) – 13 (0.02%)
Cecilia Mwanga (Demokrasia Makini) – 27 (0.05%)
Yeremia Kulwa Maganja (NCCR) – 16 (0.03%)
Prof. Ibrahim Lipumba (CUF) – 25 (0.05%)
Philip John Fumbo (DP) – 11 (0.02%)
Bernard Membe (ACT) – 36 (0.07%)
Queen Sendiga (ADC) – 08 (0.02%)
Twalib Kadege (UPDP) – 06 (0.01%)
Hashim Rungwe (Chauma) – 60 (0.11%)
Mohammed Mazrui (UMD) – 06 (0.01%)
Seif Maalim Seif (AFP) – 02 (0.00%)
Tundu Antipas Lissu (Chadema) – 2,141 (4.05%)
Mkoa wa Mwanza
Jimbo la Misungwi
Walioandikishwa kupiga kura – 193,294
Waliopiga kura – 177,823 (92.0% ya walioandikishwa kupiga kura)
Kura halali – 177,791 (99.98% ya walioandikishwa kupiga kura)
Kura zilizokataliwa – 32 (0.02% ya kura zilizopigwa)
Matokeo
Dkt. John Magufuli (CCM) – 175,515 (98.72%)
Leopold Mahona (NRA) – 100 (0.06%)
John Shibuda (ADA Tadea) – 137 (0.08%)
Mutamwega Mgaywa (SAU) – 43 (0.02%)
Cecilia Mwanga (Demokrasia Makini) – 64 (0.04%)
Yeremia Kulwa Maganja (NCCR) – 98 (0.06%)
Prof. Ibrahim Lipumba (CUF) – 184 (0.10%)
Philip John Fumbo (DP) – 37 (0.02%)
Bernard Membe (ACT) – 82 (0.05%)
Queen Sendiga (ADC) – 71 (0.04%)
Twalib Kadege (UPDP) – 18 (0.01%)
Hashim Rungwe (Chauma) – 190 (0.11%)
Mohammed Mazrui (UMD) – 13 (0.01%)
Seif Maalim Seif (AFP) – 22 (0.01%)
Tundu Antipas Lissu (Chadema) – 1,217 (0.68%)
Mkoa wa Mwanza
Jimbo la Sengerema
Walioandikishwa kupiga kura – 200,692
Waliopiga kura – 73,231 (36.46% ya walioandikishwa kupiga kura)
Kura halali – 71,407 (97.51% ya walioandikishwa kupiga kura)
Kura zilizokataliwa – 1,824 (2.49% ya kura zilizopigwa)
Matokeo
Dkt. John Magufuli (CCM) – 62,529 (87.56%)
Leopold Mahona (NRA) – 480 (0.67%)
John Shibuda (ADA Tadea) – 157 (0.22%)
Mutamwega Mgaywa (SAU) – 64 (0.09%)
Cecilia Mwanga (Demokrasia Makini) – 72 (0.10%)
Yeremia Kulwa Maganja (NCCR) – 57 (0.08%)
Prof. Ibrahim Lipumba (CUF) – 53 (0.07%)
Philip John Fumbo (DP) – 29 (0.04%)
Bernard Membe (ACT) – 37 (0.05%)
Queen Sendiga (ADC) – 17 (0.02%)
Twalib Kadege (UPDP) – 31 (0.04%)
Hashim Rungwe (Chauma) – 147 (0.21%)
Mohammed Mazrui (UMD) – 14 (0.02%)
Seif Maalim Seif (AFP) – 13 (0.02%)
Tundu Antipas Lissu (Chadema) – 7,711 (10.80%)
Mkoa wa Pwani
Jimbo la Mafia
Walioandikishwa kupiga kura – 36,448
Waliopiga kura – 18,136 (49.76% ya walioandikishwa kupiga kura)
Kura halali – 17,492 (96.45% ya walioandikishwa kupiga kura)
Kura zilizokataliwa – 644 (3.55% ya kura zilizopigwa)
Matokeo
Dkt. John Magufuli (CCM) – 13,917 (79.56%)
Leopold Mahona (NRA) – 173 (0.99%)
John Shibuda (ADA Tadea) – 95 (0.54%)
Mutamwega Mgaywa (SAU) – 49 (0.28%)
Cecilia Mwanga (Demokrasia Makini) – 21 (0.12%)
Yeremia Kulwa Maganja (NCCR) – 46 (0.26%)
Prof. Ibrahim Lipumba (CUF) – 916 (0.24%)
Philip John Fumbo (DP) – 34 (0.19%)
Bernard Membe (ACT) – 288 (1.65%)
Queen Sendiga (ADC) – 18 (0.10%)
Twalib Kadege (UPDP) – 26 (0.15%)
Hashim Rungwe (Chauma) – 72 (0.41%)
Mohammed Mazrui (UMD) – 09 (0.05%)
Seif Maalim Seif (AFP) – 16 (0.09%)
Tundu Antipas Lissu (Chadema) – 1,812 (10.36%)
Mkoa wa Katavi
Jimbo la Mpanda Mjini
Walioandikishwa kupiga kura – 115,542
Waliopiga kura – 38,987 (33.74% ya walioandikishwa kupiga kura)
Kura halali – 38,363 (98.40 % ya walioandikishwa kupiga kura)
Kura zilizokataliwa – 624 (1.60% ya kura zilizopigwa)
Matokeo
Dkt. John Magufuli (CCM) – 29,520 (76.95%)
Leopold Mahona (NRA) – 129 (0.34%)
John Shibuda (ADA Tadea) – 71 (0.19%)
Mutamwega Mgaywa (SAU) – 25 (0.07%)
Cecilia Mwanga (Demokrasia Makini) – 39 (0.10%)
Yeremia Kulwa Maganja (NCCR) – 34 (0.09%)
Prof. Ibrahim Lipumba (CUF) – 22 (0.06%)
Philip John Fumbo (DP) – 08 (0.02%)
Bernard Membe (ACT) – 34 (0.09%)
Queen Sendiga (ADC) – 15 (0.04%)
Twalib Kadege (UPDP) – 06 (0.02%)
Hashim Rungwe (Chauma) – 84 (0.22%)
Mohammed Mazrui (UMD) – 04 (0.01%)
Seif Maalim Seif (AFP) – 03 (0.01%)
Tundu Antipas Lissu (Chadema) – 8,369 (21.82%).
JIMBO LA IGUNGA
CCM: 29,805 – 73.56%
CDM: 9,587 – 23.66%
ACT: 33 – 0.08%