The House of Favourite Newspapers

Lukaku Akutana na Jay-Z, DJ Khaled Nchini Marekani

Manchester United star Lukaku joined Jay-Z's Roc Nation Sports talent stable earlier this year

ROMELU LUKAKU anayelipiga soka na timu ya Manchester United ya Uingereza, ametimiza ndoto yake kwa kukutana na rapa Jay-Z na prodyuza DJ Khaled, wote wa Marekani.

Alikutana na mastaa hao huko New Jersey hivi karibuni wakati wa ziara ya muziki ya Jay-Z na mkewe, Beyonce, iitwayo ‘On the Run II Tour’ wakati wakitumbuiza katika dimba la  MetLife Stadium huko East Rutherford, New Jersey.

The Belgium striker also spent time chatting with DJ Khaled, another member of Roc Nation 

Lukaku alikuwa katika mapumziko baada ya timu yake kutoka katika michuano ya Kombe la Dunia nchini Urusi iliposhika nafasi ya tatu.

Comments are closed.