Maandamano Dar: Kamanda Muliro Atoa Onyo Kali – “Nimarufuku Kuingia Barabarani”- Video
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro amepiga marufuku maandamano yaliyopangwa kufanyika leo Novemba 10, 2023 Dar es Salaam, pia amewatahadharisha wananchi kutoshiriki maandamano hayo.