Mafuriko Yatokea Bukoba Mjini, Nyumba Zafunikwa
Mafuriko yameikumba Bukoba mjini leo kuanzia majira ya saa mbili asubui kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha kwa kufunika na kuzunguka baadhi ya nyumba zilizopo maeneo ya Nyakanyasi na Darajani Sokoni na sehemu nyinginezo. Chanzo cha habari kimeipasha Global Publishers kikisema kuwa hakuna mtu aliyepoteza maisha zaidi ya familia kupoteza mali zao.
PICHA NA FAUSTINE RUTA – BUKOBA
Comments are closed.