The House of Favourite Newspapers

MAGAZETI OCT 29: SHEIKH MKUU ATOA MSIMAMO NDOA KWA MTOTO WA KIKE

Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakari Zubeir amesema kwa dini ya kiislamu, mtoto wa kike akivunja ungo,anaruhusiwa kuolewa ikihitajika kufanya hivyo.

Comments are closed.