Habari MAGAZETI OCT 29: SHEIKH MKUU ATOA MSIMAMO NDOA KWA MTOTO WA KIKE On Oct 29, 2019 Share Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakari Zubeir amesema kwa dini ya kiislamu, mtoto wa kike akivunja ungo,anaruhusiwa kuolewa ikihitajika kufanya hivyo. Habari Share
Comments are closed.