Makamba: Bunge Halikupitisha Ujenzi wa Uwanja wa Ndege Chato – Video
Share
Mbunge wa viti Maalum Shinyanga, Salome Makamba, akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano amesema Bunge halikupitisha bajeti iliyotumika kujenga Uwanja wa Ndege wa Chato ambao umegharimu takribani Tsh. Bilioni 42.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.