MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo amewakaribisha jijini Dar es Salaam watendaji wa kata zote nchini akiwahakikishia usalama watakapokuwa hapa tangu Septemba 2 mwaka huu kwa ajili ya mkutano uliondaliwa na Rais John Magufuli.
Ameyasema hayo akizungumza na wanahabari akielezea kufurahishwa kwake na ujio huo kuwa ni fursa kubwa kwa wafanyabiashara na wananchi wake ambapo mkutano huo utaongeza wigo wa biashara sehemu mbalimbali na kwamba hawatakumbana na kero za wezi katika jiji hilo.
Ili kuelewa mengi zaidi fungua video hapo chini.
Comments are closed.