Mambosasa: Ole Wake Atakayekutwa na Mfuko wa Plastiki DAR! – Video
Share
KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema ifikapo Juni Mosi, mwaka huu oparesheni kali itaanza kukagua watu ambao bado watakuwa wanatumia mifuko ya plastiki ambayo imepigwa marufuku na serikali.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.