The House of Favourite Newspapers

Mashehe, Wasanii Watinga Kanisa la Ufufuo na Uzima Dar

Shehe akitoa neno katika kanisa la Ufufuo na Uzima.

WASANII wa Vichekesho nchini Mussa Kitale na Stan Bakora, wameungana na mashehe leo kwenye ibada katika kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima jijini Dar es Salaam.

Mussa Yusuph Mahenge ‘Kitale’ akizungumza kanisani hapo.
Shehe akiwa na Askofu Gwajima Jukwaani kanisani hapo.
Wasanii wa vichekesho wakisalimiana na Mashehe kanisani hapo.

 

Mussa Kitale akipunga mkono kwa waumini kanisani hapo.

 

   

Gabriel Ng`osha/GPL

Comments are closed.