Mussa Kitale: Sisi Sote ni Ndugu…
MSANII wa vichekesho nchini, Mussa Yusuph Mahenge ‘Kitale’, amesema kuwa Waislamu na Wakristo wote ni ndugu.
Akizungumza na waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Gwajima lilipo Dar es Salaam, Kitale amesema kuwa Watanzania sote ni ndugu na hatuna sababu yoyote ya kutengana.
Aidha msanii mwengine, Stan Bakora, naye alipata nafasi ya kuzungumza mawili matatu ambapo alimmwagia sifa mchungaji huyo na kutaka aitwe Stanley Gwajima.
Comments are closed.