Mashujaa Watinga hatua ya robo fainali ya kombe la Shirikisho, Simba Watolewa
Mashujaa Fc wametinga hatua ya robo fainali ya kombe la Shirikisho la CRDB kufuatia ushindi wa penalti 6-5 dhidi ya Simba Sc kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora ya CRDB Bank Federation Cup.
FT: Mashujaa Fc 1-1 Simba Sc (P 6-5)
MATUTA:
Mashujaa: ❌✅✅✅✅✅✅
Simba SC: ✅✅✅❌✅✅❌
Simba Sc imesukumizwa nje ya michuano ya kombe la Shirikisho la CRDB huku Mashujaa wakisonga mbele.