The House of Favourite Newspapers

Mastaa wanaodaiwa kuwauza wenzao watajwa

0

auntlulu1
Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’.

HAMIDA HASSAN NA GLADNESS MALLYA

MASTAA kadhaa hapa Bongo wamekanyaga skendo ya kudaiwa kuwauza wenzao kwa wanaume ambapo katika orodha hiyo wamo Lungi Mwaulanga,Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ na Maimartha Jesse.

Chanzo cha habari kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, mastaa hao ndiyo wamekuwa wakitumika kuwaunganisha wasaniii wenzao kwa mapedeshee huku wao habari hii, waandishi wetu walizungumza na wahusika ambao kila mmoja alifunguka kivyake.

maiMaimartha Jesse.

LUNGI: Mh! Mimi mtu akimtaka mtu f’lani huwa nampa namba tu, wanajuana wenyewe, kwani dhambi? MAI: Mimi niwauze wenzangu, acha hizo bwana, mimi nauza bidhaa zangu.

ANTI LULU: Hivi kumpa mtu namba ya staa ni kumuuza? wakiambulia ‘cha juu’. “Wanafanya hako kabiashara kishkaji sana, akitokea mwanaume kumtaka staa f’lani wao ndiyo wanagawa namba au kuwaunganisha kabisa kisha nao wanalipwa. Katika kubalansi

Leave A Reply