Wengine waliohojiwa ni Naibu Makatibu Wakuu, John Mnyika (Bara) na Salum Mwalimu (Zanzibar); Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee; Mwenyekiti wa Kanda ya Serengeti, John Heche na Esther Matiko ambaye ni Mweka Hazina wa Bawacha huku Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Vicent Mashinji akishindwa kujumuika na wenzake kwa kuwa yupo nje ya nchi kikazi.
Comments are closed.