Mechi ya VPL Yaahirishwa Mbeya Kutokana na Mvua Kubwa
Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Mbeya City na Kagera Sugar uliokuwa umeahirishwa na kupangwa kufanyika katika Uwanja wa Sokoine Mbeya, umeahirishwa kutokana na hali ya uwanja kutokuwa nzuri kama inavyoonekana pichani baada ya mvua kubwa kunyesha.
Comments are closed.