The House of Favourite Newspapers

Mmiliki wa Mtandao wa Wikileaks afariki Dunia

gettyimages-1059744232

 Gavin MacFadyen enzi za uhai wake.

Mwanzilishi wa mtandao maarufu wa Wikileaks, Gavin MacFadyen (76) amekutwa amefariki Jumamosi ambapo  chanzo cha kifo chake bado hakijajulikana.

Mtandao wa Wikileaks umekuwa ukiibua mambo mbalimbali ya siri ya mgombea  urais wa Marekani, Hillary Clinton.

Wengi hawajayaamini kifo chake ambacho kimewastua na kuumiza mioyo ya watu wengi hasa pale wanapomkumbuka marehemu kama mwanzilishi wa kituo cha habari za uchunguzi (Centre for Investigative Journalism) mwaka  2003 ambapo wanahabari wengi wakubwa duniani wamejifunza hapo.

Comments are closed.