Mo Dewji Asitisha Kununua Ferrari na Rolls-Royce
BAADA ya kipigo kizito dhidi ya Kaizer Chiefs, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Mohammed Dewji leo Mei 16, 2021 aamua kuwekeza fedha zaidi katika kuitengeneza Simba iweze kushindana zaidi.