Msanii wa Vichekesho Umar Iahbedi Issa Maarufu kwa jina la Mjegeje Afariki
Msanii wa vichekesho Umar Iahbedi Issa maarufu kwa jina la Mjegeje @mzeewamjegejetz amefariki dunia leo Alfajiri katika Hospitali ya Mwananyamala alipokuwa anapatiwa matibabu.
Aidha Meneja wa msanii huyo amethibitisha taarifa hizo za kifo cha msanii wake
Chanzo cha kifo chake kinatajwa alikuwa anaumwa maradhi ambayo hayajawekwa wazi.