Mshindi wa Nyumba na Milioni 20 Mbeya Akabidhiwa Fedha Zake
Zawadi za papo kwa hapo za Biko kuanzia sh 5,000, 10,000, 20,000 hadi sh Milioni moja zinaendelea kutolewa kwa kupitia Biko inayochezwa kwa kufanya miamala kwenye simu za mikononi ya Tigo Pesa, Mpesa na Airtel Money kuanzia sh 1,000 na kuendelea, namba yao ya Kampuni ni 505050 na ile ya kumbukumbu ni 2456.
Droo kubwa huchezeshwa kila Jumatano na Jumapili, huku kuanzia Jumatano na Jumapili, watanzania wanaocheza Biko wakitarajiwa kushinda nyumba na sh Milioni 20.
Na Mwandishi Wetu, Mbeya
Comments are closed.