Huu ndiyo muonekano mpya wa Staa wa muziki kutoka Barbados, Robyn Rihanna Fenty maarufu kwa jina la Rihanna. Picha hizi zinamuonyesha staa huyo kama alivyonasa akiwa katika mitaa ya Jiji la New York nchini Marekani jana.
…Akiwa katika pozi
Rihanna akiongozana na mlinzi wake.
Comments are closed.