MWENYEKITI WA CCM RAIS MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU LUMUMBA
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli leo June 26, 2019 ameongoza kikao cha Maadili na Usalama cha chama kilichofanyika katika ofisi ndogo za Makao makuu ya Chama hicho Lumumba Jijini Dar es salaam.
PICHA NA IKULU
Comments are closed.