MWILI wa Makamu wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharrif Hamad ukiwasili Zanzibar kisha kupelekwa katika viwanja vya Mnazi Mmoja mjini Zanzibar kwa ajili ya ibada ya kuuswalia ambapo marehemu atazikwa leo jioni eneo la Mtambwe, Pemba.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.