Nafasi za kazi 4 Wizara ya Elimu, Mkufunzi msaidizi maendeleo ya jamii II
POST | MKUFUNZI MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII II (UMEME) – 4 POST |
POST CATEGORY(S) | ENGINEERING AND CONSTRUCTION |
EMPLOYER | Ministry of Education, Science and Technology |
APPLICATION TIMELINE: | 2022-02-23 2022-03-08 |
JOB SUMMARY | N/S |
DUTIES AND RESPONSIBILITIES | i. Kufundisha masomo ya fani mbalimbali zinazofundishwa katika vyuo; ii. Kuandaa mitiririko na mpangilio wa masomo; iii. Kusimamia masomo ya vitendo; iv. Kuwapima wanachuo wakati wa mazoezi na kwenye mitihani; v. Kufanya utafiti wa mahitaji ya mafunzo katika Jamii inayozunguka chuo; vi. Kuandaa muhtasari wa masomo; vii. Kufanya maandalizi ya namna ya kuendesha mafunzo; viii. Kuandaa vielelezo vya kufundishia; ix. Kuendesha mafunzo ya nje ya Chuo (Outreach Programs); na x. Kutunga, Kusimamia na Kusahihisha mitihani. |
QUALIFICATION AND EXPERIENCE | Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne/sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali katika fani ya umeme |
REMUNERATION | TGS C. |