The House of Favourite Newspapers

Mkuu wa Jeshi la Polisi Atangaza Nafasi za Ajira kwa Vijana

0

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania anatangaza nafasi za ajira kwa vijana wenye elimu ya Shahada, Stashahada, Astashahada, Kidato cha Sita na Kidato cha nne.

Kwa maelezo zaidi tembelea tovuti ya Jeshi la Polisi polisi.go.tz

Leave A Reply