×

Misri Yatinga Hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia Baada ya Kuiondoa Australia kwa Penalti

Timu ya taifa ya Misri imefuzu hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi...

READ MORE

Mzuka wa Mabingwa Yavuruga Ratiba Za Burudani Kwa Vijana

Katika zama ambazo simu janja imekuwa sehemu ya maisha ya kila siku, vijana wengi wamekuwa wakitafuta njia mpya za kujiburudisha...

READ MORE

Ujerumani Yaanza Mazungumzo na Klopp Kuchukua Timu ya Taifa

Shirikisho la Soka la Ujerumani (DFB) limethibitisha kuwa limeanza mazungumzo ya awali na kocha wa zamani wa Liverpool, Jürgen Klopp,...

READ MORE

Justin Bieber Aweka Rekodi kwa Mafanikio ya Kifedha na Muziki

Nyota wa muziki wa pop duniani, Justin Bieber, ameendelea kujijengea umaarufu mkubwa si tu kupitia muziki bali pia kupitia utajiri...

READ MORE

Suluhisho Kwa Wapenzi Wanaogombana Kila Mara, Soma Hapa

SIKU hizi ugomvi kwenye mahusiano imekuwa kama ni jambo la kawaida. Watu wanagombana kwelikweli. Utakuta mtu haipiti mwezi mmoja bila...

READ MORE

GF Trucks Yaibuka Kinara Sabasaba, Yatwaa Tuzo ya Banda Bora Tena

Kampuni ya GF Trucks imesema katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) imepata mafanikio...

READ MORE

TIRA Yazindua Rasmi Kijiji cha Bima katika Maadhimisho ya Miaka 50 ya Maonesho ya Saba Saba

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imezindua rasmi shughuli za Kijiji cha Bima katika Maadhimisho ya Miaka 50 ya...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 4, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Fahamu Makundi Matatu ya Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo

KUNA makundi matatu makuu ya ugonjwa wa vidonda vya tumbo na leo tutajadili kwa kina aina hizo za magonjwa haya...

READ MORE

Mwili wa Dereva wa Heche Wasafirishwa Kwenda Tarime kwa Mazishi (Picha +Video)

Mwili wa aliyekuwa dereva wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, Suez Dani Maradufu, umekabidhiwa kwa ndugu na viongozi wa...

READ MORE

Rais Samia: Sabasaba Ni Daraja Linaloiunganisha Tanzania na Dunia (Picha +Video)

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) yameendelea kuwa daraja...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Magari ya Jetour na Sababu Zinazoyafanya Yazidi Kupata Umaarufu

Katika miaka ya hivi karibuni, magari ya Jetour yameendelea kujijengea umaarufu mkubwa katika soko la kimataifa na Afrika, ikiwemo Tanzania....

READ MORE

Advela na Mama Yake Wamshukuru Shigongo kwa Kuwagharamia Matibabu ya Miguu – Video

Mtoto Advela pamoja na mama yake, Melisiana, wamemtembelea Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, kumshukuru kwa msaada alioutoa uliowezesha mtoto huyo...

READ MORE

Australia vs Misri: Vita ya Kufa au Kupona leo, Odds Kubwa Zanasubiri Meridianbet

Nyasi zinaenda kuwaka leo kwenye mechi hii ya kibabe sana kati ya Australia dhidi ya Misri ambapo wote wanatafuta nafasi...

READ MORE

Lissu Ataka Kulipwa Fidia Kwa Kudai Kesi Yake Imecheleweshwa Kwa Makusudi – Video

Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameiomba Mahakama ya Rufani ya Dar es Salaam iamuru Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kumlipa fidia...

READ MORE

Yanga Yapigwa Faini ya Milioni 100 na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeitoza Klabu ya Young Africans (Yanga SC) faini ya Sh. milioni 100 kwa kukiuka...

READ MORE

LeBron James Aeleza Sababu ya Kuondoka Los Angeles Lakers

Nyota wa NBA LeBron James ameamua kuhitimisha safari yake ya miaka minane akiwa na Los Angeles Lakers, hatua inayofungua ukurasa...

READ MORE

Fungua Milango Ya Hazina Za Misri Na Fury Of Anubis Prize Drop

Katika ulimwengu wa burudani za kidijitali, kuna nyakati ambazo mchezo mpya huibuka na kubadili kabisa mazungumzo. Hiyo ndiyo hali ilivyo...

READ MORE

Manchester City Wavunja Benki Kumsajili Nyota Elliot Anderson

Klabu ya Manchester City imekamilisha usajili wa kiungo kijana Elliot Anderson kutoka Nottingham Forest kwa dau la rekodi ya pauni...

READ MORE

Mwili wa Kiongozi Mkuu wa Iran Ulivyowasili Tehran Kabla ya Maziko ya Taifa – Video

Mwili wa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, ulivyofika katika eneo la Grand Mosalla jijini Tehran siku ya leo Ijumaa...

READ MORE