×

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 11, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Mourinho Afichua Kilichomfanya Agome Kuchukua Nafasi ya Sir Alex

JOSE Mourinho amefichua kuwa aliwahi kusaini makubaliano ya kuchukua nafasi ya ukocha wa Manchester United kutoka kwa Sir Alex Ferguson...

READ MORE

Airtel Yatoa Elimu ya Usalama wa Mtandao Nane Nane, Yawaonya Wananchi Dhidi ya Matapeli

Dodoma, Agosti 8, 2026 — Kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania imeendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu usalama wa mtandao...

READ MORE

Tume Yabainisha Matamanio ya Serikali Kulinda afya na Usalama wa Watumishi wa Umma

TUME ya Utumishi wa Umma imesema serikali ina nia ya dhati ya kuhakikisha watumishi wa umma wanakuwa salama na wenye...

READ MORE

Amnesty Yaishutumu Jeshi la Sudan Kutumia Mabomu ya Mapipa Yanayodondoshwa Kutoka Angani

Vita vinavyoendelea nchini Sudan vimesababisha vifo vya watu wasiopungua 60,000, huku takribani watu milioni 15 wakilazimika kuyahama makazi yao na...

READ MORE

Lissu Alipuka Mahakamani, Alalamikia Siku 166 Za Ucheleweshaji – Video

DAR ES SALAAM: Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amelalamikia ucheleweshwaji wa mwenendo wa kesi ya...

READ MORE

Mshindi wa Ngao Kuamuliwa Jumatano Ndani ya Dakika 90

Mashabiki wengi wanasubiri kwa hamu mechi ya kibabe za Ngao ya Jamii kati ya Yanga dhidi ya Simba itakayopigwa kule...

READ MORE

Makamu Wa Rais Nchimbi Amtembelea Rais Mstaafu Kikwete (Picha +Video)

DAR ES SALAAM: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, leo Agosti 10, 2026,...

READ MORE

Viongozi Wa Chadema, TLS Na ACT Wafika Mahakamani Kufuatilia Kesi Ya Lissu – Video

DAR ES SALAAM: Viongozi na baadhi ya wadau wa siasa na sheria leo Agosti 10, 2026 wamefika katika Mahakama Kuu,...

READ MORE

Baba Mzazi wa Lionel Messi Jorge Azikwa Nchini Argentina

Baba mzazi wa  nyota wa kimataifa wa Argentina Lionel Messi, Jorge Messi amezikwa katika makaburi binafsi ya El Prado, karibu...

READ MORE

Rashford Arejea Manchester United Apewa Jezi namba 14

Staa wa Manchester United Marcus Rashford amerudi katika kambi ya maandalizi ya  baada ya kumaliza mkopo wa msimu mmoja na...

READ MORE

Netanyahu Akataa Mpango wa Trump wa Kumaliza Vita Gaza, Aweka Sharti kwa Hamas

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema Israel haikubaliani na mpango mpya wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kumaliza...

READ MORE

Mixx Yashinda Tuzo Tatu Katika Tuzo za TEHAMA 2026

10 Agosti 2026, Dar es Salaam. Kampuni ya huduma za kifedha kidijitali, Mixx, imeshinda tuzo tatu katika Tuzo za TEHAMA...

READ MORE

Yanga Yapoteza Yanga Day, Mashabiki Wabaki na Furaha Baada ya Kuona Kiwango cha Timu

MASHABIKI wa Yanga wameondoka jana kwenye Tamasha la Yanga Day wakiwa na furaha licha ya timu yao kupoteza kwa mabao...

READ MORE

Jordyn Lucas Aeleza Hisia Zake Baada ya Kukutana na Drake, Azawadiwa Mkoba wa Mil 66

Mrembo wa Marekani, Jordyn Lucas, ametimiza ndoto yake ya muda mrefu baada ya kupata nafasi ya kukutana na rapa maarufu...

READ MORE

Iran Yakataa Kufungua Mlango wa Hormuz, Yataka Marekani Ilipie Uharibifu wa Vita

TEHRAN: Iran imesema haitafungua tena Mlango wa Hormuz, njia muhimu ya usafirishaji wa mafuta na biashara duniani, hadi Marekani itakapotekeleza...

READ MORE

Kesi ya Uhaini ya Lissu Kuendelea Leo Baada ya Kusimama kwa Siku 167

DAR ES SALAAM: Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, inatarajiwa kuendelea leo...

READ MORE

Sababu 10 Zinazoua Biashara Mpya Kabla Hazijafika Mwaka Mmoja

Kuanza biashara ni hatua ya ujasiri inayohitaji ndoto, mtaji na mipango. Hata hivyo, takwimu na uhalisia vinaonyesha kuwa zaidi ya...

READ MORE

Wakulima Wazawadiwa Baada ya Kutumia Mixx Kupokea Malipo

LINDI: Wakulima kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara wanaotumia huduma ya Mixx kupokea malipo ya mazao yao wameanza kunufaika na...

READ MORE

Mainstream Group Yang’ara Tehama Awards 2026, Yanyakua Tuzo Mbili

DAR ES SALAAM: Kampuni ya Mainstream Group Limited imeendelea kung’ara katika sekta ya teknolojia nchini Tanzania baada ya kushinda tuzo...

READ MORE