×

Video: Fahamu Ushahidi Uliomtia Hatiani ‘Mr Blue’ Na Kuhukumiwa Kunyongwa Kwa Kumuua Ezenia (Part 1&2)

Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imemhukumu kunyongwa hadi kufa Abdalah Mussa maarufu Mr. Bluu, baada ya kupatikana...

READ MORE

Familia Yalia: Sindano 15 Kila Siku, Msichana Ahitaji Msaada, Ateseka Miaka 18 – Video

Msichana Mariam Magomi, mkazi wa Sinza C jijini Dar es Salaam, anaishi katika maumivu makali kwa zaidi ya miaka 18...

READ MORE

Yanga Yaanza Rasmi Ujenzi wa Uwanja Wake wa Kihistoria – Video

Uongozi wa klabu ya Young Africans Sports Club (Yanga SC) imetangaza rasmi kuingia katika hatua mpya ya kihistoria ya ujenzi...

READ MORE

TAKUKURU Yaimarisha Mapambano Dhidi ya Rushwa na Upotevu wa Mapato

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni imefanikiwa kudhibiti upotevu wa mapato ya zaidi ya shilingi...

READ MORE

Meridianbet Yaleta Tabasamu Tandale Kupitia Msaada wa Vyakula

Ndani ya Tandale, kuna hadithi mpya ya matumaini inayojengwa kupitia nguvu ya mshikamano wa kijamii. Meridianbet imeweka tofauti si kwa...

READ MORE

Video: Trump na Xi Wakubaliana Iran Isitengeneze Silaha za Nyuklia

Rais wa Marekani Donald Trump amesema yeye na Rais wa China Xi Jinping wamekubaliana kuwa Iran haipaswi kuruhusiwa kumiliki silaha...

READ MORE

Mbinu Kuamua: Unai Emery akabiliana na Arne Slot Aston Villa vs Liverpool Leo Usiku

Leo Ijumaa Mei 15, 2026 saa 22:00, Aston Villa watakuwa wenyeji wa Liverpool kwenye Villa Park. Tatizo la kiufundi la...

READ MORE

Fahamu Kwa Nini Mabosi wa Apple, Tesla na Nvidia Wapo China na Trump

Wakurugenzi wakubwa wa kampuni za Marekani wameonekana kuandamana na Rais Donald Trump katika ziara yake nchini China, hatua iliyovutia mjadala...

READ MORE

Mapokezi Aliyoyapata Rais wa Marekani Trump Yaweka Hostoria Beijing – Picha

Rais wa Marekani Donald Trump amepokelewa kwa heshima kubwa nchini China baada ya kuwasili jijini Beijing katika ziara inayotajwa kuwa...

READ MORE

Penzi la Harmonize na Kajala Lazidi Kuwavutia Mashabiki Mitandaoni

Penzi kati ya msanii wa muziki wa Bongo Fleva Harmonize na muigizaji Kajala Masanja limeendelea kuzua gumzo kubwa mitandaoni, huku...

READ MORE

Makamba: Serikali Yaendelea Kuboresha Mazingira ya Uwekezaji Sekta ya Nishati

Dar es Salaam-Tanzania, Mei 14, 2026: Kampuni ya Nishati ya Puma Tanzania imezindua rasmi programu yake ya kwanza nchini ya...

READ MORE

Trump na Xi Watoa Kauli Nzito Kuhusu Iran na Strait of Hormuz

Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa China Xi Jinping wamekubaliana kwamba njia muhimu ya mafuta duniani ya Strait...

READ MORE

Faida 5 za Maji ya Limao Ambazo Watu Wengi Hawazijui

Maji ya limao ni kinywaji rahisi kinachotengenezwa kwa kuchanganya maji na juisi ya limao mbichi. Kunywa maji ya limao kila...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 15, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Trump Kuweka Historia kwa Saini Yake Kuwekwa Kwenye Dola za Marekani

Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kuwa rais wa kwanza aliyepo madarakani kuweka saini yake kwenye noti za dola za...

READ MORE

AFCON 2027: Sasa Ni Kasi Tu! RC Chalamila Atoa Maelekezo Mazito Kinondoni – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amefanya ziara ya kutembelea ujenzi wa viwanja vya farasi na leaders...

READ MORE

TPLB Yamteua Yahaya Abushehe Kuwa Kaimu Ofisa Habari Mpya

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kumteua Yahaya Abushehe kuwa Kaimu Ofisa Habari wa TPLB akichukua nafasi ya Karim...

READ MORE

Man United Yatambulisha Jezi Mpya za Nyumbani za Msimu wa 2026/27

Klabu ya Manchester United imetambulisha rasmi jezi zake mpya za nyumbani kwa ajili ya msimu ujao wa 2026/27, ambapo timu...

READ MORE

Marekani Yaondoa Amana ya Visa Kwa Mashabiki wa Kombe la Dunia 2026

Serikali ya Marekani imetangaza kuondoa hitaji la amana ya visa ya dola 15,000 (Tsh 39,077,250)  kwa mashabiki wa soka kutoka...

READ MORE

Video: Simanzi Yatanda Baada ya Mwili wa Mollel Kukutwa Muriet, Arusha

Simanzi imetanda katika familia ya mfanyabiashara Sifaeli Mollel baada ya mwili wake kukutwa ukiwa umeharibika ndani ya nyumba inayodaiwa kutumiwa...

READ MORE