×

Tanzania Kukipiga na Senegal Fainali AFCON U-17 Rabat, Morocco Leo

TIMU ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, itashuka dimbani leo Jumanne Juni 2, 2026...

READ MORE

Emmanuela Mtatifikolo Ashinda Ubunge Ismani kwa Asilimia 93.5

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ismani, Emmanuela Mtatifikolo ametangazwa mshindi wa uchaguzi uliofanyika Juni 1, 2026 baada ya kupata kura...

READ MORE

Video: Jinsi Polisi Walivyohukumiwa Kunyongwa Kwa Kumuua Mfanyabiashara Wa Madini (Part 1-3)

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mtwara iliwahukumu kunyongwa hadi kufa watuhumiwa wawili kati ya maofisa saba wa jeshi la...

READ MORE

Airtel Money Yazidi Kuboresha Huduma, Yazindua Mfumo wa TUKUZA na ZECO

Zanzibar, Juni 2, 2026 – Kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania, kupitia huduma yake ya Airtel Money, imeingia mkataba wa...

READ MORE

Meridianbet Waja na Pirates Power Yenye Zawadi Kubwa kwa Wachezaji

Kama unatamani mchezo wenye burudani, msisimko na nafasi kubwa za ushindi, Pirates Power kutoka Meridianbet ni sehemu sahihi ya kuanzia....

READ MORE

Shigongo Aibua Mjadala Mkali Kuhusu Sheria ya Manunuzi Nchini

Kupitia akaunti yake ya Instagram, Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, ameandika ujumbe mzito akizungumzia changamoto katika utekelezaji wa Sheria ya...

READ MORE

Trump Atangaza Makubaliano ya Kusitisha Mapigano kati ya Israel na Hezbollah

Serikali ya Lebanon imetangaza makubaliano ya usitishaji wa sehemu wa mapigano kati ya kundi la Hezbollah na Israel, hatua inayotajwa...

READ MORE

Uchumi wa Russia Waanza Kuyumba, Serikali Yatafuta Njia ya Kuokoa Bajeti, Waziri wa Fedha Afunguka

Wizara ya Fedha ya Russia imeanza kupitia upya bajeti ya mwaka huu na inapanga kupunguza matumizi katika sekta zisizo za...

READ MORE

Feitoto Kutocheza Mechi za Kirafiki za Stars Dhidi ya Uganda na Rwanda – Video

Nyota wa Taifa Stars na Azam FC, Feisal Salum ‘Feitoto’ atazikosa mechi za kirafiki za Stars kutokana na kuwa majeruhi....

READ MORE

Utafiti Unaonesha Binadamu Anapoteza Siku 26 Kila Mwaka Kwa Kutofanya Lolote

JE umeshawahi kujiuliza kwa mwaka ni muda kiasi gani unaoupoteza kutokana na kutofanya chochote? Mathalani, mtu anakusubirisha tu sehemu halafu...

READ MORE

Njia Tano Za Kudumisha Uhusiano Kimapenzi

UKWELI ni kwamba mapenzi hayana njia moja ya kufuatwa lakini kuna vitu ambavyo vinajulikana kuchangia katika kuboresha uhusiano baina ya...

READ MORE

Jinsi ya Kuwafanya Wateja Wako Wawe na Furaha

RAFIKI yangu, unahitaji kuwafanya wateja wako wawe na furaha. Unahitaji kuwafanya wawe wateja wanaokuja kwako kila mara na waweze kuleta...

READ MORE

Rais Samia Kufanya Ziara ya Kihistoria Urusi Kukutana na Putin

Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya kitaifa ya siku tatu nchini Russia kuanzia Jumatano Juni 3 hadi 5,...

READ MORE

Wanafunzi 246,197 Waliopangiwa Kujiunga Kidato Cha Tano Wapaswa Kuripoti Shuleni

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema...

READ MORE

Mama Alia Mbele ya Waziri Mkuu Akidai Mwanaye Kuchukuliwa na Wanaojiita Polisi – Video

Kumetokea tukio la kusikitisha ambapo mama mmoja ameonekana akiomba msaada mbele ya Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, akidai kuwa mwanaye...

READ MORE

Kuwait Yalaani Mashambulizi ya Iran, Saudi Arabia na UAE Watoa Tamko

Serikali ya Kuwait imeishutumu Iran kwa kile ilichokiita mashambulizi ya mara kwa mara na ya kinyama, ikisema kuwa hatua hiyo...

READ MORE

Simba Kupambana na Mbeya City Saa 8 Mchana Badala ya Saa 10 Juni 17, 2026

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza rasmi mabadiliko ya muda wa mchezo wa NBC Premier League kati ya Mbeya...

READ MORE

Marekani Yaongeza Presha kwa Iran Katika Mazungumzo ya Amani

Mvutano kati ya Marekani na Iran umeendelea kushika kasi baada ya ripoti kueleza kuwa Rais Donald Trump ametuma pendekezo jipya...

READ MORE

Brazil dhidi ya Panama Mechi wa Kirafiki kuelekea Kombe la Dunia

Tofauti na michezo mingine ya kirafiki, hapa Brazil anabeba shinikizo kubwa kama timu inayotarajiwa kushinda Kombe la Dunia kundi C,...

READ MORE

Rais wa Colombia Akataa Matokeo ya Uchaguzi, Ahoji Mfumo wa Kuhesabu Kura

Rais wa Colombia anayemaliza muda wake, Gustavo Petro, ameibua mashaka kuhusu mchakato wa uchaguzi nchini humo baada ya matokeo ya...

READ MORE