×

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Waliobebana Mshkaki Wafariki kwa Kugongwa na Fuso

WATU watatu waliokuwa wamebebana kwenye pikipiki (Mshikaki) wamefariki dunia papo hapo baada ya kugongwa na fuso lenye namba za usajili...

READ MORE

Bocco Arejea Uwanjani Kukiwasha Simba Day

MSHAMBULIAJI na Nahodha wa Simba, John Bocco anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kitakachocheza dhidi ya TP Mazembe...

READ MORE

Walimu Ruksa Kuhama Mijini Kwende Vijijini

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Mhe Ummy Mwalimu amesema walimu wanaotaka kuhama kutoka mijini...

READ MORE

Makambo Awekewa Bil 1.5 awamalize Wanigeria

JEURI ya fedha imeanza Yanga! Ndivyo utakavyoweza kusema baada ya uongozi wa timu hiyo kutangaza kwamba, endapo ushindi utapatikana nyumbani...

READ MORE

Basi la Mwendokasi Lagonga Pikipiki, Laua Wawili

WATU wawili wamefariki dunia kwa ajali iliyohusisha basi la mwendokasi na pikipiki. Kwa mujibu wa Kamanda wa polisi Kanda Maalum...

READ MORE

Mbeya: Mtoto Mbaroni kwa Kubaka Mtoto na Kumuua

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya limemkamata Hamisi Ibrahim (15) akituhumiwa kumbaka na kumuua mtoto mwenye umri wa miaka sita....

READ MORE

Yafahamu Matukio 5 Ambayo Marekani Hawatayasahau

MAREKANI ni taifa kubwa kiuchumi linalotajwa kuwa taifa namba moja duniani lenye nguvu ya ushawishi kwenye maeneo mengi ikiwemo kijeshi,...

READ MORE

Tanzia: Hillary Ngonyani Afariki Dunia

MWENYEKITI Mstaafu wa Halmashauri ya Mji Korogwe mkoani Tanga, Hillary Ngonyani amefariki dunia. Ngonyani amefariki dunia leo Septemba 9, 2021...

READ MORE

RC Makalla Apiga Marufuku Biashara Barabarani, Atoa Siku 7

  Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ametoa wiki moja kwa wafanyabiashara...

READ MORE

Mapacha Waoa Mke Mmoja, Wampa Mimba

IMEZOELEKA kuwa mara nyingi mapacha hupenda kuoa/kuolewa na mapacha wenzao lakini mambo yamekuwa tofauti kwa mapacha hawa ambao wamewaacha watu...

READ MORE

Yafahamu Matukio 10 ya Kukumbukwa Katika Maisha ya Soka ya Ronaldo

Cristiano Ronaldo amerejea Manchester United. Akiwa na kapu la mabao na kukusanya makombe lukuki tangu aondoke Old Trafford, mshambuliaji wa...

READ MORE

Nabi Ashusha Presha Yanga

UONGOZI wa Yanga tayari umethibitisha kuwa vibali vya nyota wake wapya watatu, Djuma Shabani, Fiston Mayele na Khalid Aucho vimechelewa...

READ MORE

Gomes Ampa Sakho DK 270 tu Simba SC

KOCHA Mkuu wa Simba, Mfaransa, Didier Gomes, ameomba mastaa wake awapime kwa kucheza mechi tatu za kirafiki ambazo ni sawa...

READ MORE

Sabaya Kortini Tena kwa Madai ya Kuchukua Mil 90 za Mfanyabiashara

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake sita wamesomewa shtaka la uhujumu uchumi lenye makosa matano...

READ MORE

Sakata la Polepole, Gwajima, Silaa Latua kwa Majaliwa

KAMATI ya wabunge wa CCM imekabidhi ripoti ya mahojiano ya wabunge watatu kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambapo wawili wanatuhumiwa...

READ MORE

Tanzia: Muigizaji Maarufu Mzee Mathiokore Afariki Dunia

ALIYEKUWA muigizaji nguli  na maarufu katika kipindi cha Gumbaru School kilichokuwa kipeperushwa kwenye Runinga ya K24 ya nchini Kenya, Mzee...

READ MORE

Fisi Aua Mtoto

MTOTO mwenye umri wa miaka mitano ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Zawa, Kata ya Sengerema wilayani Maswa mkoani Simiyu...

READ MORE

Rais Awaomba Radhi Wananchi kwa Kukimbia Nchi

ALIYEKUWA Rais wa Afghanistan kabla ya Taliban kuichukua, Ashraf Ghani, amewaomba msamaha watu wa nchi hiyo baada ya kukimbilia nchi...

READ MORE

Rihanna Apotezea Kesi Aliyomshtaki Baba Yake

STAA wa muziki nchini Marekani, Rihanna ametupilia mbali kesi dhidi ya baba yake, wiki chache kabla ya siku waliopaswa kukutana...

READ MORE