×

Breaking: JPM Amtumbua Aliyeshindwa Kuapa, Ateua Mwingine

RAIS John Magufuli amemteua Prof. Shukrani Manya, kuwa Naibu Waziri wa Madini, ambapo pia ameteuliwa kuwa mbunge wa Bunge la...

READ MORE

Mfanyabiashara Dar Ajiua kwa Msongo wa Mawazo

POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salamaam imesema mfanyabiashara aliyefahamika kwa jina la Nasir Shabani (51) amejiua kwa kujipiga risasi...

READ MORE

Wawili Mbaroni Kwa Tuhuma za Wizi Zaidi ya Mil. 100

WATU wawili wamefikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, kwa tuhuma kuibia kampuni ya Diamond Motors...

READ MORE

Kiungo wa Plateau United Afunguka Nakuja Yanga

KAULI aliyoitoa kiungo fundi wa Plateau United ya Nigeria, Isah Ndala akisema amekubali kutua Yanga endapo klabu hiyo itafuata taratibu...

READ MORE

Harusi Ya Manara: Steve Nyerere Avunja Watu Mbavu -Video

 Msanii wa Bongo Movie, Steve Nyerere akiwa  amefunguka baada ya Msemaji wa klabu ya Simba, Haji Manara, Desemba 10,...

READ MORE

Rais Dk. Hussein Mwinyi Akutana na Uongozi wa Nmb Ikulu Zanzibar

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na uongozi wa Benki ya NMB...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Desemba 11, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 11, 2020. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Kampeni ya Chanja Kijanja na Exim Mastercard Yaja Kivingine

  Kampeni ya ‘Chanja Kijanja na Exim Mastercard’ inayolenga kuhamasisha wateja wabenki hiyo kutumia kadi katika manunuzi ya mtandaoni au...

READ MORE

Video: Global Habari Dec 10 – Dkt Gwajima Atoa Maagizo Wizara Ya Afya…

 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima amewataka viongozi na watumishi wa Wizara...

READ MORE

Facebook Yakabiliwa na Kesi ya Kutaka ‘Kuua’

KAMPUNI ya #Facebook Inc inaweza kulazimishwa kuuza mali zake ikiwemo #WhatsApp na #Instagram baada ya Tume ya Biashara ya #Marekani...

READ MORE

Mondi Anunua iPhone kwa Mara ya Kwanza

MWANAMUZIKI milionea kutoka Bongo Fleva Diamond Platnumz, kwa mara ya kwanza ameingia kwenye chama cha watumiaji simu za iPhone, baada...

READ MORE

VOA: DUNIANI LEO – DESEMBA 10, 2020

 Karibu utazame Dakika 30 za TAARIFA YA HABARI ya Duniani Leo kutoka SAUTI YA AMERIKA (VOA) zilizosheheni habari mbalimbali...

READ MORE

Manara Anafunga Ndoa, Mstaafu Kikwete Ahudhuria -Video

 MSEMAJI wa klabu ya Simba, Haji Manara, leo Desemba 10, 2020 amefunga ndoa na mkewe Naheeda, katika msikiti wa...

READ MORE

IGP Atekeleza Agizo la JPM Kuhusu Askari Hawa…

INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP) Simon Sirro ametekeleza agizo la Rais John Magufuli la kuwaondoa katika vituo vyao vya kazi,...

READ MORE

Mkurugenzi Mwingine Atumbuliwa

WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, amemsimamisha kazi mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (Duwasa), David...

READ MORE

Simba Yatoa Tamko Sakata la Kichuya

UONGOZI wa Simba umesema kuwa suala la mchezaji wao wa zamani ndani ya timu hiyo, Shiza Kichuya, kufungiwa na Shirikisho...

READ MORE

Belle 9 Afunguka Mjengo Aliokabidhiwa na Kikwete

  MSANII nguli wa muziki wa RnB Bongo Belle 9 ameshea stori ya kupewa mjengo kutoka kwa mtoto wa Rais...

READ MORE

Scholes Amvaa Pogba: Mfukuze Wakala Wako

KIUNGO wa zamani wa Man United ambaye kwa sasa ni mchambuzi wa soka katika kituo cha BT Sport, Paul Scholes,...

READ MORE

Wabunge DRC Kupiga Kura Kumwondoa Spika

ZAIDI ya wabunge mia mbili kati ya wabunge mia tano wameanza kikao cha kupiga kura ya  kumwondoa madarakani Spika wa...

READ MORE